Psalms 96:7-9


7 aMpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa,
mpeni Bwana utukufu na nguvu.

8 bMpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;
leteni sadaka na mje katika nyua zake.

9 cMwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake;
dunia yote na itetemeke mbele zake.

Copyright information for SwhKC